Pages

Ads 468x60px

Featured Posts

Tuesday, September 19, 2023

Ushahidi unaonyesha kombora la Kiukreni lilisababisha mgomo wa soko-ripoti


 

Akaunti za mashahidi na uchanganuzi wa vipande vya video na silaha zinaonyesha kuwa kombora la Ukrain ambalo lilishindwa kulenga shabaha yake ndilo lililosababisha shambulio baya katika soko la Ukraine mnamo Septemba, gazeti la New York Times liliripoti Jumatatu.

Wednesday, June 14, 2017

John Heche ( Mbunge) Kuwahamasisha Wananchi Kuzipiga Mawe Ndege za ACACIA


Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amefunguka na kusema kwa kuwa Rais Magufuli kupitia ripoti ya pili ya mchanga amesema kampuni ya ACACIA ni feki na haipo basi yeye anawaambia wananchi wa jimbo lake wajiandae kuingia mgodini kuchukua kila kitu.

Mbowe Apata Pigo Tena.... Serikali 'Yaharibu' Mitambo Shambani Kwake

Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amezidi kukumbwa na matukio mbalimbali baada ya jana Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kung’oa mitambo ya umwagiliaji iliyopo katika shamba lake na kumtoza faini kwa kuendesha kilimo eneo lisiloruhusiwa.

Msaidizi Wa Mbowe ( Profesa Abdallah Safari ) Amfananisha Rais Magufuli Na Mashujaa Wa Afrika

Kada wa chama cha Demokrasia  na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, Profesa Abdallah Safari amemfagilia Rais Magufuli kwa kupigania rasimali za taifa ikiwemo madini yaliyokuwa yakiwanufaisha Wawekezaji.

LOWASSA: Avunja ukimya na kuonyesha uzalendo wake kwa kumpongeza Rais Magufuli..soma hapa

“Nimpongeze sana Mhe Rais John Pombe Magufuli kwa uamuzi na hatua ambazo amechukua kuhusu jambo hili, na hasa pale anapowashirikisha wananchi, ni jambo muhimu sana.


SDDO WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUUSU MADINI YA TANZANIA

AUAWA KISHA KUCHOMWA MOTO KWA KUIBA KUKU MMOJA HUKO BUNDA


MWANAMUME mmoja ameuawa na mwili wake kuchomwa moto na wananchi wenye hasira katika wilaya ya Bunda mkoani Mara, kwa tuhuma ya kuiba kuku mmoja.

HIZI HAPA PICHA MPYA ZA MREMBO JOKATE MWEGELO MTANDAONI

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya June 14

UNICEF YASAIDIA VITANDA VYA WAGONJWA WA KIPINDUPINDU ZANZIBAR!


 Waziri wa Afya, Mahmoud Thabit Kombo akipokea msaada wa vitanda vya wagonjwa wa kipindupindu kwa Afisa Mkaguzi Mkuu wa Shirika la kuhudumia watoto Duniani (UNICEF) Bi. Francesca Morandini katika kambi ya kipindupindu Chumbuni.

Tuesday, June 13, 2017

BREAKING NEWS: TAARIFA KWA UMMA JKT IMEONGEZA ORODHA YA MAJINA YA VIJANA WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA MEI 2017 KWA AJILI YA KUHUDHURIA MAFUNZO YA MUJIBU WA SHERIA MWAKA 2017



TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linapenda kuutaarifu umma kuwa limeongeza majina ya vijana waliohitimu elimu ya kidato cha sita mwezi Mei 2017 kujiunga na mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria.
Vijana hao wanatakiwa kuripoti kwenye makambi ya JKT waliyopangiwa kuanzia tarehe 13 Juni 2017 hadi tarehe 20 Juni 2017.

Spika Job Ndugai Atoa ONYO Kwa Halima Mdee na Ester Bulaya......Atishia Kuwapa Adhabu Kali Zaidi

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai leo bungeni amewapa onyo wabunge Halima Mdee pamoja na Easter Bulaya akisema kuwa wanapaswa kutambua kuwa Bunge bado linauwezo wa kuwaita na kuwahoji na kuwapa adhabu kali zaidi ya hiyo walionayo sasa.

Rais Magufuli Akutana na Wakuu Wote wa Mikoa Nchini na Kutoa Maagizi Mazito

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza Wakuu wa Mikoa kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa viwanda katika maeneo yao ili kuwawezesha wananchi kuongeza thamani ya mazao yao na kuzalisha ajira.

Profesa Kitila Mkumbo Awapa Makavu Wapinzani Wanaopinga Ripoti za Rais Magufuli

Katibu Mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo amewakejeli watu wanaopinga ripoti mbili za mchanga zilizowasilishwa na tume mbili tofauti za wasomi kwa Rais John Magufuli.

Serikali yatoa kibali cha kuajiri watumishi 15000 kuziba nafasi za watumishi waliobainika kuwa na vyeti feki.

Waziri wa nchi,Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora Mh.Angela Kairuki amesema tayari serikali imeshatoa kibali cha ajira 15000 kwa ajili ya kujaza nafasi zilizoachwa wazi na watumishi waliobainika kuwa na vyeti feki katika zoezi lililofanyika nchi nzima la kuwabaini na muda si mrefu nafasi hizo zitajazwa.

Jeshi la Polisi latoa tahadhali kwa wananchi, latoa onyo kali

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa ndani ya Jeshi la hilo hakuna ajira zilizotangazwa, na kuwataka wananchi wote kuwa makini na mtandao wa matapeli.

Spika Jobu Ndugai Atoa ONYO Kwa Wabunge wa Upinzani Wanaotaka Marais Wastaafu Washitakiwe

Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Waziri Mkuu Majaliwa awavalisha vyeo Maafisa wa Magereza, ahimiza haki na usawa

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka maaafisa na makamanda wa Jeshi la Magereza nchini waendelee kusimamia haki na usawa wanapotimiza wajibu wao.

Maoni ya Tundu Lissu baada ya Rais Magufuli kupokea ripoti ya pili ya kamati maalum ya uchunguzi wa madini

For the Record: What Goes Around Comes Around!!!

Leo wapinzani wa Serikali ya Magufuli tumesemwa sana na kutishiwa kushughulikiwa bungeni na nje ya Bunge.

Walichokisema Dr Kafumu, Ngeleja na Andrew Chenge Baada ya Kutakiwa Kuhojiwa Na Vyombo vya Dola

Vigogo waliotajwa katika ripoti ya pili ya kuchunguza makontena yenye mchanga wa madini (makinikia)  kuisababishia Serikali hasara ya matrilioni ya fedha kupitia sekta ya madini, walipokuwa wakihudumu katika nyadhifa zao serikalini wamevunja ukimya.

Prof. Muhongo, Andrew Chenge na Wahusika Wengine Wazuiwa kutoka nje ya Mipaka ya Tanzania

Serikali imeagiza, Mawaziri, Wanasheria Wakuu wa Serikali na Manaibu wao, Wakurugenzi wa idara za mikataba, na Makamishna wa madini, wanasheria wa Wizara ya Nishati na Madini na watumishi wengine wa Serikali na watu wote waliohusika katika kuingia mikataba ya uchimbaji madini, utoaji wa leseni za uchimbaji wa madini na kuongeza muda wa leseni, watumishi na wamiliki wa makampuni ya madini kuto toka nje ya mipaka ya Tanzania.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya June 13

Monday, June 12, 2017

ACACIA wapinga vikali matokeo ya kamati ya pili ya Rais

Mwitikio wa Acacia kwenye matokeo ya kamati ya pili ya Rais

Acacia imeona matokeo ya kushtua ya kamati ya pili ya Rais iliyowasilishwa kwa Rais wa Tanzania Mh. Dk John P. Magufuli leo asubuhi ambayo imeangalia nyanja za historia za kiuchumi na kisheria ya mauzo ya nje ya makanikia ya madini.

TANGAZO KUHUSU NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA ASTASHAHADA NA STASHAHADA KWA VYUO VYA SERIKALI NA VISIVYO VYA SERIKALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018


TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU 12 JUNE 2017


SHARE