Pages

Ads 468x60px

Wednesday, June 3, 2015

BREAKING NEWS: Picha: Mwandosya achukua fomu ya kugombea Urais



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya akionesha fomu ya kugombea Urais.
 

Wajumbe wa CCM waliohudhuria mkutanoa huo.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya akizungumza na waandishi wa habari .
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya  amechukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya chama  cha Mapinduzi.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari Mwandosya amesema hii ni mara yake ya pili kuchukua fomu ya kugombea urais  katika kinyang’anyiro chenye wagombea wengi.

0 comments:

Post a Comment

SHARE