Pages

Ads 468x60px

Monday, May 25, 2015

NAJUTA KUBALEHE...NI STORY MPYA SOMA HAPA>>>>


SEHEMU YA 01
  mwaka 2007 tulihama kutoka kijijin na kuhamia ndan ya mji wa arusha. nikiwa na miaka 14 haki ya mungu arusha ni jiji zuri sana lina manzari nzuri basi pale tulipofikia palikua na wasichana jiran weng sana. kwaharaka ckuelewa kwann eneo lile lina warembo weng sana ikiwa ndo mwanzo wa balehe muda mwingi hisia za ngono zilitawala ubongo wangu. 

 kibaya zaid skuwah kusex zaid ya enz za utoto nikiwa nina wiki moja tangia tuhamie arusha maeneo ya mianzini. jion moja kijana prince niliamua kumvizia mdada fulan. nikajibanza chocho mara nikamuona anakuja nikaanza kutetemeka huku nikiwaza nitasemaje.

nikiwa naendelea kuwaza mara mtoto akanifikia akabidi nijikaze kiume "dada samahan naweza kukusemesha"akajibu"bila shaka nakusikiliza ongea kijana" nikajua hapa mambo sio mabaya "dada mimi naitwa prince hapa si mwenyeji sana kwanza ndo juz tu tumehamia mtaani hapa "akacheka kidogo kisha akasema "nashukuru kukufaham prince unajina zuri sana mm naitwa hidaya "
ITAENDELEA
Prince Hisia's photo.

0 comments:

Post a Comment

SHARE