Pages

Ads 468x60px

Tuesday, June 2, 2015

MKE WA ZAMANI WA MH. SUGU AFUNGUKA TENA LIVE INSTAGRAM!!..HEBU MSIKIE HAPA>>


"Naomba nifunguke kidogo maana hili swala limeshanitokea mara mbili hivi- saa nyingine tunakutana na marafiki wapya bila kujua historia zao zamani hilo kwangu linakuaga sio muhimu sana kwa sababu kila mtu ana mapito yake lkn cha muhimu kwangu kinakuaga ni ukweli tu ktk mahusiano - ktk marafiki nilio wahi kukutana
Na hao wawili ni wasagaji kitu ambacho mm nilikua sijui lkn ningejali wala kujaji kama wana sagana japo huwa sisapoti hilo Jambo- kuna mmoja hivi aliwahi kunikiss gafla huko Asia lkn kwa kweli sikuelewaga nikazani labda sijui ndio uzungu au pombe- Na kuna mwingine kalewa kaanza kunishika shika kwa nguvu kha! Kwa kweli ktk hizo mara zote mbili nashangaa lkn nakua sisemi kitu maana sijawahi kuwaza au kuzani kwamba labda mtu alie kuwa karibu Na mm ana tabia hiyo - sasa nataka kusema hivi sipendi hiyo tabia ya usagaji na sijawahi kusagana na sintakuja kusagana- kifupi napenda wanaume - napenda dudu Na Na enjoy sex- Na mwanaume sana so ktk swala la kusagana kwangu halina nafasi! Kama wewe ni rafiki yangu au mtu unae nitamani nipende tu kwa mbali lkn usiwe na matumaini hata kidogo maana kwangu huta pata hiyo nafasi kamwe! KUSAGANA HAPANA!

0 comments:

Post a Comment

SHARE