Pages

Ads 468x60px

Sunday, June 7, 2015

Urais 2015: Benard Membe Kutangaza Nia Ya Kugombea Urais Leo Saa Sita Mchana

 

Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh.Bernad Membe leo anatarajia kutangaza nia ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi ateuliwe kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

0 comments:

Post a Comment

SHARE