Pages

Ads 468x60px

Showing posts with label Gossip. Show all posts
Showing posts with label Gossip. Show all posts

Wednesday, August 10, 2016

Heart Attacks And Drinking Warm Water:


```This is a very good article. Not only about the warm water after your meal, but about Heart Attack's . The Chinese and Japanese drink hot tea with their meals, not cold water, maybe it is time we adopt their drinking habit while eating. For those who like to drink cold water, this article is applicable to you. 

Monday, August 1, 2016

Friday, July 22, 2016

Wednesday, July 20, 2016

Breaking News: Bad news to WCB from the High court in Tanzania




Breaking News: Bad news to WCB from the High court in Tanzania


Breaking News: Bad news to WCB from the High court in Tanzania




Breaking News: Bad news to WCB from the High court in Tanzania


Saturday, June 27, 2015

Sakata la Faiza Ally Kunyang’anywa Mtoto latua Bungeni



Siku chache zimepita tangu hukumu ya kesi ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kutolewa dhidi ya mzazi mwenzake Faiza Ally,baada ya kuiomba mahakama kumchukua mtoto wao, hali iiyopelekea mahakama kutoa hukumu kuwa mtoto achukuliwe na Mbunge huyo,  jambo lililofanya sakata hilo kutinga bungeni.
 
Baadhi ya wabunge na wadau mbalimbali wamedai kuwa mtoto bado ni mdogo sana kuweza kuishi na baba yake na kutoa maoni kuwa mtoto arudishwe kwa mama yake kwa kuwa kila mtu ana mapungufu na kusema kuwa mtoto bado ana haki ya kuwa karibu na mama yake.
 
Kwa mujibu wa Mbunge Martha Mlata jana  alisema kuwa; “Tuna Mbunge mwenzetu amemnyanyasa mwanamke mwenzetu ametumia siku moja Mahakamani kumnyang’anya mtoto wa miaka miwili.. Mbunge huyu anajijua kwa sababu mwanamke huyo anaitwa Faiza.. Faiza arudishiwe mtoto wake”.
 
Hoja hiyo ikachangiwa na Mbunge David Kafulila alisema “Hii nchi ina mihimili mitatu, Bunge, Mahakama na Serikali… Tuheshimu maamuzi ya Mahakama”.
 
Sambamba na hilo Waziri Saada Mkuya akahitimisha na kusema; “Kama mama na mimi nilipoisikia ile taarifa nilipata uchungu, kila binadamu ana mapungufu yake lakini mtoto alelewe na mama yake”.

SHARE