```This
is a very good article. Not only about the warm water after your meal,
but about Heart Attack's . The Chinese and Japanese drink hot tea with
their meals, not cold water, maybe it is time we adopt their drinking
habit while eating. For those who like to drink cold water, this article
is applicable to you.
Showing posts with label Gossip. Show all posts
Showing posts with label Gossip. Show all posts
Wednesday, August 10, 2016
Tuesday, August 2, 2016
Monday, August 1, 2016
Friday, July 22, 2016
Pornography woman eating pulley and ex fiance and marriages break down a week ( Audio)

Listen the audio here>>>>>
Wednesday, July 20, 2016
Breaking News: Bad news to WCB from the High court in Tanzania

Breaking News: Bad news to WCB from the High court in Tanzania
Breaking News: Bad news to WCB from the High court in Tanzania

Breaking News: Bad news to WCB from the High court in Tanzania
Saturday, June 27, 2015
Sakata la Faiza Ally Kunyang’anywa Mtoto latua Bungeni
Siku chache zimepita tangu hukumu ya kesi ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kutolewa dhidi ya mzazi mwenzake Faiza Ally,baada ya kuiomba mahakama kumchukua mtoto wao, hali iiyopelekea mahakama kutoa hukumu kuwa mtoto achukuliwe na Mbunge huyo, jambo lililofanya sakata hilo kutinga bungeni.
Baadhi ya wabunge na wadau mbalimbali wamedai kuwa mtoto bado ni
mdogo sana kuweza kuishi na baba yake na kutoa maoni kuwa mtoto
arudishwe kwa mama yake kwa kuwa kila mtu ana mapungufu na kusema kuwa
mtoto bado ana haki ya kuwa karibu na mama yake.
Kwa mujibu wa Mbunge Martha Mlata jana alisema kuwa; “Tuna Mbunge mwenzetu
amemnyanyasa mwanamke mwenzetu ametumia siku moja Mahakamani
kumnyang’anya mtoto wa miaka miwili.. Mbunge huyu anajijua kwa sababu
mwanamke huyo anaitwa Faiza.. Faiza arudishiwe mtoto wake”.
Hoja hiyo ikachangiwa na Mbunge David Kafulila alisema “Hii nchi ina
mihimili mitatu, Bunge, Mahakama na Serikali… Tuheshimu maamuzi ya
Mahakama”.
Sambamba na hilo Waziri Saada Mkuya akahitimisha na kusema; “Kama
mama na mimi nilipoisikia ile taarifa nilipata uchungu, kila binadamu
ana mapungufu yake lakini mtoto alelewe na mama yake”.
Subscribe to:
Posts (Atom)



