Pages

Ads 468x60px

Showing posts with label Kitaifa. Show all posts
Showing posts with label Kitaifa. Show all posts

Wednesday, June 14, 2017

AUAWA KISHA KUCHOMWA MOTO KWA KUIBA KUKU MMOJA HUKO BUNDA


MWANAMUME mmoja ameuawa na mwili wake kuchomwa moto na wananchi wenye hasira katika wilaya ya Bunda mkoani Mara, kwa tuhuma ya kuiba kuku mmoja.

Tuesday, June 13, 2017

BREAKING NEWS: TAARIFA KWA UMMA JKT IMEONGEZA ORODHA YA MAJINA YA VIJANA WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA MEI 2017 KWA AJILI YA KUHUDHURIA MAFUNZO YA MUJIBU WA SHERIA MWAKA 2017



TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linapenda kuutaarifu umma kuwa limeongeza majina ya vijana waliohitimu elimu ya kidato cha sita mwezi Mei 2017 kujiunga na mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria.
Vijana hao wanatakiwa kuripoti kwenye makambi ya JKT waliyopangiwa kuanzia tarehe 13 Juni 2017 hadi tarehe 20 Juni 2017.

Jeshi la Polisi latoa tahadhali kwa wananchi, latoa onyo kali

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa ndani ya Jeshi la hilo hakuna ajira zilizotangazwa, na kuwataka wananchi wote kuwa makini na mtandao wa matapeli.

Monday, June 12, 2017

Sunday, June 11, 2017

IGP Sirro: Ni kosa Polisi Kudai Hela ya Mafuta kwa Raia

Mkuu wa Jeshi la polisi nchini (IGP), Simon Sirro amewataka makamanda wa polisi mikoa kuhakikisha wanatumia vizuri mafuta ya magari wanayowekewa ili kuepuka malalamiko ya wananchi kwa magari ya polisi kukosa mafuta.

Mauaji Kibiti: IGP Sirro Awataka Waandishi Kuwa Wazalendo

Wakati  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akisema matukio ya mauaji ya hivi karibuni mkoani Rufiji yana harufu ya kisiasa, Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro amevitaka vyombo vya habari kuwa na uzalendo, ikiwa ni pamoja na kuacha kutoa taarifa zenye kuchochea hofu kwa wananchi.

Basi la BATCO Lateketea Kwa Moto

Basi la BATCO lenye namba za usajili T192DHW limeteketea kwa moto hii leo katika eneo la Kirumi kata ya Bukabwa Wilayani Butiama Mkoani Mara. Gari hilo lilikuwa linafanya safari zake kutoka Tarime-Sirari na Mwanza.

Kitimoto Chapigwa Marufuku Mkoani Dodoma

Saturday, June 10, 2017

Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha 5 na Vyuo vya Ufundi awamu ya Kwanza 2017




HERE ARE THE NAMES OF SELECTED STUDENTS TO JOIN FORM 5 AND COLLEGES

AWAMU YA PILI:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WATAKAOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2017


Haya hapa majina ya wanafunzi watakaochaguliwa awamu ya pili kitado cha tano mwaka 2017

Jela Miaka 23 Kwa Kuiba Cheti Kidato cha Nne

Mahakama  ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi imemhukumu kwenda jela miaka 23 mkazi wa kijiji cha Kalovye, Osward Mpalasinge (26).

Amepewa adhabu hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kuvunja na kuiba vitu mbalimbali ikiwemo cheti cha kidato cha nne. Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Teotimus Swai baada ya mshtakiwa kukiri kosa mahakamani.

Ndama Shabani Hussein (Pedeshee Ndama) Ahukumiwa jela miaka 5 au Kulipa faini ya sh. Milioni 200

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu kulipa faini ya Sh200 milioni mfanyabiashara, Ndama Shabani Hussein maarufu kama Pedeshee Ndama mtoto ya Ng’ombe baada ya kulikubali na kutiwa hatiani katika shtaka la sita la kutakatisha dola za Marekani 540,000.

Mwanafunzi wa Miaka 13 Abakwa Hadi Kufa

Mwanafunzi  wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 13 anayesoma Shule ya Msingi Kipanga wilayani Tanganyika mkoa wa Katavi, amebakwa hadi kufa na watu wasiojulikana, ambao waliutupa mwili wake korongoni.

Friday, June 9, 2017

EWURA Watolea Ufafanuzi Sakata la Kuiongezea Muda wa Leseni Kampuni ya IPTL

Mlinzi auawa kwa kukatwa mapanga Sengerema

Na Veronica Martine, Sengerema
Mlinzi   mmoja  wa maduka ameuawa kwa  kukatwakatwa na mapanga  na mwingine mmoja  kujeruhiwa  katika kitongoji   cha  Sima Majengo   Kata ya Sima Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza. 

LHRC Wapinga IPTL Kuongezewa Leseni Ya Kuendelea Kufanya Kazi Nchini

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimepinga kusudio la Mamlaka ya Nishati na Maji (Ewura) la kuipa leseni Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Limited (IPTL).

Wednesday, June 7, 2017

POLISI WAPIGA MABOMU YA MACHOZI,MAJI YA KUWASHA KUTAWANYA WAENDESHA BODABODA SAKATA LA KIFO CHA MWENZAO SHINYANGA

malunde1 blog

Jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga limetumia mabomu ya machozi na maji ya kuwasha kuwasambaratisha waendesha bodaboda mjini Shinyanga waliokuwa wamefunga barabara kuu ya Shinyanga – Tabora wakidai askari wa jeshi hilo amesababisha kifo cha mwendesha bodaboda mwenzao

Mfumo mpya wa uhasibu kupunguza hati zenye mashaka


Mkuu wa Kitengo cha Tehama na mawasiliano kutoka Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) bwana Desderi Wengaa akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wakufunzi wa mfumo wa Uhasibu na utoaji taarifa za fedha.

SHARE