Pages

Ads 468x60px

Showing posts with label love. Show all posts
Showing posts with label love. Show all posts

Monday, July 25, 2016

Monday, June 15, 2015

Wanawake Washauriwa Kuepuka Rushwa ya NGONO Kwenye Uchaguzi>>soma hapa!!



Wanawake nchini wametakiwa kuacha kutumia rushwa ya ngono ili waweze kuchaguliwa katika nafasi mbalimbali za uongozi bali watumie uwezo wao kupambana ili waweze kushika nafasi za juu kwenye ngazi za maamuzi.

Hayo yalibainishwa na aliyekuwa mbuge wa Ukerewe (CCM), Balozi Getruda Mongela (pichani), wakati alipokuwa akifungua kongamano la kitaifa la wanawake mjini Dodoma.

Alisema mwanamke anayetumia ngono ili aweze kuchaguliwa katika uchaguzi hafai kuongoza na jamii haina budi kumwogopa.

“Mwanamke ambaye anatumia rushwa ya ngono ili kupata uongozi huyo ni mwasherati na hapaswi kuaminiwa katika kupewa nafasi yeyote ya madaraka katika serikali yoyote ile,” alisema Mongela.

Aidha, alisema kuwa katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wanawake wanatakiwa kuwa kitu kimoja bila kujali itikadi zao za vyama kwani wao ndiyo wamekuwa wakipata shida katika kutafuta huduma mbalimbali za kijamii.

“Mimi nikiwa Chadema na wewe CCM lakini mwisho wa siku tunakutana hospitali ili kuweza kujifungua tukiwa wodi moja hivyo basi sisi tuwe na ajenda yetu moja kama wanawake,” alisema.

Alisema kuwa pia wanawake wanatakiwa kuachana na imani za kishirikina katika uchaguzi ujao kwa kuwa haiwezi kuwasaidia hata kidogo kuingia madarakani bali wawe karibu na wananchi na kupanga sera zao zenye tija.

“Kama uchawi ungekuwa unauwezo huo basi wale waganga wa kienyeji wao kwanza wangekuwa wabunge unafikiri kwani wao hawapendi kuwa wabunge?” alihoji. 
 
Hata hivyo, aliwataka wanawake kuwa na tabia ya kuthubutu katika kufanya maamuzi yao na kuweka uwoga pembeni kwa kuwa hiyo ndiyo itakuwa silaha yao katika kupata nafasi za juu za uongozi.

Wednesday, June 10, 2015

Maneno ya Wema Sepetu Baada ya Kutuhumiwa Kutoka Kimapenzi na Mume wa Linah



Siku chache baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Esterlina Sanga ‘Linah’ kulalamika juu ya kitendo cha Wema Sepetu kumchukua aliyekuwa bwana’ake Nangari Kombo, muigizaji huyo ameibuka na kutoa maneno yanayoashiria kejeli, kuwa aache presha, kwani zile ni picha tu!

Wiki iliyopita zilisambaa  picha  mtandaoni zikimuonyesha Wema Sepetu akiwa amepozi kitandani na kijana huyo, aliyepata umaarufu baada ya kuingia ndani ya eneo la kuchezea katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam mwaka 2010, wakati wa mechi kati ya Brazil na Taifa Stars na kumkumbatia kiungo nyota wa mabingwa hao wa zamani wa dunia, Kaka.
 
Katika  maelezo yake  kuhusiana  na  kusambaa  kwa  picha hizo, Wema amesema kupiga picha na Nangari hakumaanishi mapenzi, kwani yeye ni mtu wa watu na picha kama hizo hupiga na marafiki zake wengi tu, hivyo Linah asiwe na shaka naye hata kidogo.

“Nilipiga naye kama ninavyoweza kupiga na marafiki wengine kama akina Martin Kadinda, Petit Man na wengineo. Sina uhusiano naye wa kimapenzi, naomba aamini kuwa ni rafiki tu wa kawaida,” alisema Wema na kuibua maswali juu ya aina ya uswahiba wa kawaida wa kupiga picha kitandani na mpenzi wa mtu!

Saturday, June 6, 2015

ANGALIA PICHA ZINAZOMUONYESHA WEMA NA MARAFIKI ZAKE WAPENZI WAKE TANGIA MISS TANZANIA MPAKA SASA


 



                                                     AFTER DANGOTE

 










Monday, June 1, 2015

HUWEZI AMINI! BWANA HARUSI AZIMIA MARA 3 JIJINI DAR

 
Ni vigumu kuamini! Bwana harusi Abasi Khamis Abdallah amejikuta akizimia zaidi ya mara tatu baada ya kubaini kuwa, bi harusi, Fatuma Salum Omar aliyefunga naye ndoa ni mke wa mtu na ana watoto wanne, Amani lina mkasa kamili.
Tukio hilo la kihistoria lilijiri hivi karibuni, Kigamboni, Dar mara tu baada ya ndoa hiyo kufungwa msikitini ambapo wazazi wa bwana harusi ndiyo waliotonywa kuhusu siri hiyo.
Bwana harusi Abasi Khamis Abdallah na bibi harusi wakiwa na nyuso za furaha siku ya ndoa yao. Awali, kabla ya ndoa, wazazi wa bwana harusi walimchunguza Fatuma, akawaambia yeye bado ana ‘usichana’ wake hali iliyowaridhisha kuwa wamepata mkwe bora. Simulizi hiyo ya aina yake ilieleza kwamba, Fatuma na Abasi walikutana kwa mara ya kwanza mwaka 2013 bandarini jijini Dar ambapo mwanamke huyo alikuwa akitoa mizigo, wakazama kwenye mapenzi.
Ilielezwa kwamba, Abasi alimuomba Fatuma wafunge ndoa lakini mwanamke huyo aliomba apewe miaka miwili akidai kwa wakati huo anasoma kidato cha pili.Miaka miwili ilikatika huku wawili hao wakiwa kwenye mapenzi, Abasi akijua kuwa ‘mtu’ wake anamalizia masomo.Hata hivyo, ilipofika siku ya matokeo ya kidato cha nne, Abasi aliomba kujua matokeo na kuhoji mbona haoni jina lake (Fatuma)!!
Ilidaiwa kuwa, Fatuma alimzuga kuwa alikatiza masomo dakika za mwisho hivyo dada yake akampeleka chuo.
Siku ya kupeleka posa ilipofika, Abasi alimuomba Fatuma ampeleke kwa wazazi wake, akamwambia awasiliane na dada yake, kumbe Fatuma alimpa dada feki ambaye aliongea na Abasi na kumwambia ampe siku mbili.
“Zilipita siku kama nne, tukamtafuta tena Fatuma na kumwambia aseme kama hataki ndoa kwani siku zinaenda na watu wameshajipanga na dada hajasema chochote, akajibu atatupeleka kwa shangazi yake ambaye anakaa Kigamboni (Dar).
Wakimeremeta siku ya harusi yao. “Siku iliyofuata, akampeleka Abasi kwa shangazi yake, uamuzi ukatoka kuwa mahari ipelekwe Mburahati (Dar) kwa shangazi mwingine.“Mahari ilipelekwa ambapo walitaka shilingi laki saba, zikatolewa shilingi laki tano kisha laki mbili tukaahidi kumalizia siku ya ndoa.
“Cha kushangaza siku ya ndoa haijafika, tukapigiwa simu wakiomba ile fedha iliyobaki (laki mbili) itumwe kwa huduma ya mtandao wa simu, wakasumbua sana kisha tukaituma,” alisema mama wa Abasi aliyejitambulisha kwa jina moja la Fauzia .Siku ya ndoa ilipofika, Abasi na ndugu zake walikwenda kuoa, cha kushangaza walipokuwa
njiani waliambiwa waende msikitini ingawa kuna watu waliokuwa wameshatangulia nyumbani, wakadai kuwa hakukuwa na dalili ya mtu kuonesha kuwa kuna sherehe.Walipofika msikitini, Mburahati walifunga ndoa ingawa shehe alitia shaka na kumuuliza Fatuma kama ni mjane kwani wapo watu waliomtonya kuwa ni mjane.
Fatuma alikana si mjane, ndoa ikafungwa kwa shaka huku shehe akiendelea kujiridhisha.
Fauzia alisema kuwa baada ya ndoa, watu walitimba Kigamboni kwa ajili ya sherehe ndipo baadhi ya waalikwa waliporopoka kwamba, Fatuma ana watoto wanne na ni mtalaka aliyeachwa siku sita zilizopita hivyo bado yupo eda.
Kikao cha familia kilipokaa, mume wa Fatuma (baadaye iligundulika jina lake ni Asha) wa kwanza aliyejulikana kwa jina moja la Masoud alifika na kukiri kuwa alimuoa Fatuma na amezaa naye watoto wanne.
 
Shehe aliamuru kuvunjwa kwa ndoa ya Abasi na Fatuma ndipo bwana harusi akazimia tena, alipoamka na kuuliza mkewe yuko wapi, akaambiwa kilichotokea, akazimia tena.“Hali ya kuzimia ilitokea kama mara tatu na mara ya mwisho alipoamka alikuwa bubu, tukalazimika kumwita shehe amsomee dua ndipo akaanza kuongea,” alisema Fauzia.
Fauzia alisema harusi hiyo imewagharimu zaidi ya Sh. milioni 7 hivyo ni kitendo ambacho hawatakisahau na wanaomba watu waijue habari hii ili iwe fundisho kwa wengine.

Friday, May 29, 2015

MAPENZI:SOMA HAPA JIFUNZE JINSI YA KUDUMISHA UHUSIANO NA MPENZI ALIYE MBALI

Image result for DISTANCE lover

Siku zote mapenzi huyapa maisha thamani lakini wapo ambao hujikuta kwa namna moja ama nyingine wanatengana na wapenzi wao kwa sababu tu ya mihangaiko ya kila siku yakujitafutia ridhiki, masomo na wakati mwingine utengano huwa ni matokeo ya wapendanao kuishi sehumu tofauti hii huwakumba sana wanafunzi wa vyuo na shule za bweni.

Umbali hulifanya penzi baina ya wapendanao kuteteleka kama wapendanao hawatafanya kazi za ziada kuhakikisha wanaziba mianya yote itakayosababisha usaliti kama sio kuachana kabisa.i.Hata hivyo, mapenzi ya mbali huna ni vigumu kuteteleka endapo tu wapendanao wanamapenzi ya dhati na kutamani kuwa pamoja kila wakati na mmoja wapo kuamua kujitoa muhanga kwa kuamia anakoishi ama kufanyia kazi la azizi wake. Hata hivyo, mnaweza kudumisha mapenzi yenu ya mbali endapo utafanya haya:- 

Mawasiliano ya mara kwa maraMawasiliano ni nguzo muhimu sana baina ya wapendanao, humfanya kila mtu kuhisi uwepo wa mwenzi wake hata kama atakuwa mbali naye. Hivyo, kama una mpenzi wako aliye mbali nawe hakikisha unakuwa naye karibu kwa kumtumia ama sms, email, kadi au simu.
Aidha, pindi mnapowasiliana hakikisha humkwazi mwenzako kwa namna yoyote ile, kwani kuna watu wengi wanatabia ya kudharau baadhi ya mambo kutokana na kutingwa na shughuli kadha wa kadha, naomba nikuweke wazi kuwa hata kama umebanwa vipi pindi mpenzi wako aliyembali anapokutumia ujumbe kwenye simu yako basi usisite kumjibu katika muda muafaka na siyo kuuchuna hadi ulalamikiwe!

Heshimu hisia zakoMapenzi ya kweli yametawaliwa na hisia kali ambazo ndizo huwafanya wapendanao kufikishana kwenye mambo fulani kwani pasipo hisia hata uwe na ujuzi au utundu wakutosha hutapata raha ya mapenzi.
Kama kweli unampenda kwa dhati mwenza wako na mmetengana kutokana na sababu za kimasomo ama kazi kwa hakika utakuwa tayari kumtunzia penzi lake hadi mtakapokutana tena.
Uaminifu pekee ndio utakaokufanya uwasiliane mara kwa mara na mwenza wako na kwenye uaminifu mapenzi hushamiri huku kila mmoja akimuonea wivu wa hapa na pale mwenzi wake, lakini sio ule wakubomoa! Hivyo heshimu hisia zako kama kweli unampenda mwenzi wako kwa kumuonyeshe unampenda.
Umbali si kigezo cha kunyimanaMpe mwandani wako raha kamili kama ilivyokuwa awali mlipokuwa pamoja! Bila shaka unajiuliza inawezekanaje? Hili linawezekana kwa kutumia njia yoyote ya mawasiliano. Mfano kama nyote mna simu jiandaye vyakutosha nikiwa na maana uhakikishe upo sehemu ambayo utakuwa huru kuongea ama kufanya chochote kitakachokufanya uhisi raha isiyo na kifani na kukufikisha kwenye kilele cha mlima kilimanjaro bila kutarajia.
Bila shaka kila mtu anamfahamu vema mpenzi wake na hasa nini hupenda kufanyiwa ili aweze kufika safari yake na kama ndivyo basi hakikisha unafanya mambo yote ambayo ukimfanyia mwenzi wako pindi mnapokuwa kwenye mambo fulani hupagawa.
 

MWANAFUNZI WA MIAKA 15 ABAKWA NA KUPEWA MIMBA, CHA AJABU WAZAZI WA MWANAFUNZI WASHIRIKI KUMFICHA MTUHUMIWA

Mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Kihanda wilaya ya Karagwe mkoani Kagera mwenye umri wa miaka 15 aliyetekwa nyara na kufichwa porini miezi mitatu amerejea nyumbani kwao akiwa mjamzito huku akiomba msaada kwa watendaji wa serikali wamdhibiti baba yake mzazi anayetaka kumuozesha kwa nguvu kwa lengo la kujipatia mahali ya shilingi milioni saba na Ng’ombe kumi wakidai kuwa amepoteza sifa za kuendelea na masomo.

Akizungumza binti huyo ameelezea jinsi alivyotekwa nyara akiwa njiani kwenda shule kujisomea masomo ya ziada.
 
Kwa upandewake kaka wa binti huyo Bw.Emmanuel John amebainisha ukweli wa mambo juu ya biashara haramu inayofanyika kumuozesha mdogo wake katika familia ya wafugaji inayodaiwa kusambaza fedha kwa njia za rushwa ili mtuhumiwa Bw.David Kapipi asikamatwe kwa kosa la kubaka na kusababisha ujauzito mwanafunzi wa kidato cha pili.
 
Baada ya majibu hayo chombo hiki kilifika nyumbani kwao mtuhumiwa Bw.David Kapipi mkazi wa kijiji cha Mabale wilaya ya Misenyi mkoani Kagera ambaye hakuwepo ila ndugu zake wakizungumza kwa mashariti ya kutopigwa picha walisema kuwa jambo hilo lipo kwenye mazungumzo ya wazazi wa pande zote mbili ambapo mzee Kapipi alipopigiwa simu ikawa hivi.
 
Akizunzumza kwa sharti la kutopigwa picha mkuu wa polisi wilaya ya Karagwe Bw.Mika Makanja amesema polisi inamtafuta mtuhumiwa na kusema kwamba waandishi watakapo muona mtuhumiwa waisaidie polisi kumkamata na umfikisha kituo cha polisi achukuliwe hatua za kisheria
 

Chanzo: ITV 

KALI YA MWAKA..!! BIBI HARUSI ATOROKA SIKU 4 KABLA YA NDOA, KILICHOFUATIA HIKI HAPA...

 
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa’ (28) mkazi wa Zogowale, Visiga mkoani Pwani, alijikuta katika wakati mgumu baada ya mwanamke aliyetarajia kumuoa, aliyetajwa kwa jina moja la Manka (20) kumzimia simu na kuingia mitini siku chache kabla ya ndoa yao, tukio lililotokea Mei 23, mwaka huu.


Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa' anayedaiwa kutorokwa na mchumbaake.

Kwa mujibu wa mpambe wa bwana harusi, Saidi Matakope, ndugu na marafiki wa bibi harusi walitayarisha ngoma maarufu ya Kigodoro na vyakula wakiamini binti yao atapata mume, lakini hadi ilipofika jioni, mwanaume hakuweza kutokea na kuwaacha watu vinywa wazi.

Katika eneo la tukio, mume mtarajiwa Juma, alisema alikutana na Manka na kumchumbia mwanzoni mwa Machi. 

Baada ya kuridhika na kukubaliana, ndoa ilipangwa kufanyika Mei 23, mwaka huu huku akiwa tayari ameshalipa mahari na kila kitu cha muhimu.

Lakini wiki mbili kabla ya ndoa, Juma alidai kutompata mke wake hewani baada ya kukubaliana kwenda kurekebisha shela la harusi, kitu kilichomshangaza kwani hata alipofika nyumbani kwake, alikuta mlango wa nyumba yake ukiwa umefungwa.

Juma alisema kuwa alipompigia simu yake ilikuwa haipatikani na kuamua kwenda kwa mama yake mzazi ambaye naye hakuwa akijua mwanaye ameelekea wapi huku siku zikiwa ukingoni.
 
Manka anayedaiwa kukimbia ndoa.
“Siku iliyofuata nikampigia mama yake akaniambia mwanaye ameelekea Iringa kwa shangazi yake. Nikashangaa na kuuliza kwa nini hakuniaga. Nilimpigia simu yake ikawa inaita, inakata au kutopatikana kabisa. Kwa hivyo nikamwambia mama mkwe kwamba mwanaye sitamuoa tena na nimesamehe gharama zote nilizotoa,” alisema Juma.

Mshenga wa Juma aliyejitambulisha kwa jina la Kindala, alidai baada ya kumtaarifu mama Manka kuwa ndoa hakuna, alishangaa baada ya wiki moja kupigiwa simu na ndugu zake aliulizwa muda ambao mwanaume angeenda kuoa.

“Ndipo tukashangaa na kuwaambia mbona tayari tumeshatoa taarifa kwa mama mtu kwamba hatuoi tena,” alisema mshenga huyo.

Kwa upande wake, bibi harusi alikiri kusafiri Iringa na shangazi yake, kwa kile alichodai ni kufanyiwa tambiko la ndoa, lakini akaogopa kumuaga mwenzake akijua wazi asingekubaliwa. “Bado nampenda na naitaka ndoa hata kesho nipo tayari, nilikwenda kwa shangazi Iringa siyo kwenye michepuko,” alisema Manka.

Na  Deogratius mongela-GPL

Monday, May 25, 2015

LAANA:ONA MADENTI WA SHULE YA MSINGI WAJIUZA KWA SH.2000...TAARIFA IKO HAPA

UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Farao! Kumekuwa na madai ya baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi mjini hapa kujiuza kwa waendesha bodaboda kwa gharama ya shilingi elfu mbili tu. Mwanafunzi anayedaiwa kujiuza kwa waendesha Bodaboda. 
Kufuatia madai hayo, mwandishi wa kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ mjini hapa alifanyia kazi madai hayo na kufanikiwa kumnasa Ally Shabani (34) ambaye ni dereva wa bodaboda akiwa na mwanafunzi wa darasa la nne, Shule ya Msingi ya Kiwanja cha Ndege mkoani hapa (jina tunalo).Tukio hilo la kushangaza na kusikitisha pia, lilijiri Jumamosi iliyopita saa 7 mchana katikati ya mashamba ya mkonge yaliyopo Kihonda Kwachambo ambayo yanamilikiwa na Jeshi la Magereza jirani kabisa la Gereza la Kihonda

MAMA MZAZI AISAKA OFM
Awali, mama mzazi wa denti huyo, Mariam Jongo alimtafuta Kamanda wa OFM Mkoa wa Morogoro na kumweleza kuhusu tabia ya bodaboda huyo na mwanaye, alisema:
”Naomba msaada wako baba, kuna dereva wa bodaboda nimempa tenda ya kumpeleka mwanangu shule.
“Lakini cha ajabu nasikia anamshawishi mwanangu mwenye umri wa miaka 9 ambaye hata maziwa hayajaanza kutoka kifuani ili afanye naye mapenzi akitumia chambo cha shilingi elfu mbili, hivyo naomba msaada wako kama kamanda wa kufichua maovu.”

Waliponaswa kichakani. OFM YATOA MBINU
Kamanda wa OFM alimpa maelekezo mama huyo ya kutafuta vijana wa polisi jamii wa kata ambapo baada ya kupatikana mwandishi wetu alimpa maelekezo denti huyo na baadaye kwa kushirikiana na polisi jamii na OFM walitega mtego.
DENTI AMPIGIA BODABODA
OFM alimuita denti huyo na kumpa simu ili ampigie bodaboda huyo ambapo alimtaka aende kijiweni kwake Kihonda kwa Chombo, Mwisho wa Hiace. Denti alilazimishwa na mama yake afike kwenye kijiwe hicho akiwa anafuatwa kwa karibu na OFM na polisi jamii.
BODABODA AMPANDISHA DENTI KWENYE BODABODA
Bila kujua kuwa yupo kwenye mtego, bodaboda huyo alimpakia denti ambaye alionywa kutosema kuhusu mtego na kuondoka naye huku akiendelea kufuatiliwa kwa nyuma na kikosi kazi hicho.
Alipofika jirani na Barabara ya Mazimbo, alisimama, akataka kuingia naye gesti lakini akajishtukia kwa vile ilikuwa mchana na jua kali.


Dereva bodaboda Ally Shabani aliyedaiwa kukutwa na mwanafunzi akiwa mikononi mwa wananchi.
AAMUA KWENDA MKONGENI
Bodaboda huyo alipoona ilikuwa vigumu ‘kujitoma’ gesti na mtoto wa watu, alielekea kwenye shamba la mkonge lililoko kando ya Barabara ya Dodoma na kuzama ndani.
Njemba huyo alijiongeza kwa kusimamisha bodaboda katikati ya shamba na kukaa chini na mtoto huyo ambapo walianza ‘love story’ kwanza.
OFM HIYO!
Ndani ya dakika 10 tu, OFM na kundi lake waliwavamia kwa nyuma na kumkamata bodaboda huyo na kumuuliza kisa cha kuangukia kwa mtoto kama huyo ambaye ni sawa na mwanaye wa kumzaa akiwa ameshamkatia shilingi elfu mbiliUTETEZI WAKE
Katika utetezi wake, bodaboda huyo huku akiangua kilio alimtupia lawama shetani na kuomba msamaha akisema yeye ni mume wa mtu na mkewe analea!
”Shetani kanipitia jamani, mke wangu analea mtoto wetu wa mwisho ana mwaka mmoja kasoro, naombeni msamaha yaishe hapahapa, mnifichie aibu hii,” alisema bodaboda huyo.
WATU KIBAO
Baada ya muda habari za bodaboda huyo kufumwa zilisambaa kwa kasi ya upepo na watu kibao walifurika kwenye shamba hilo huku baadhi ya bodaboda wenzake kwa hasira walimshushia kichapo mwenzao huku baadhi wakitaka kumuua.


Binti huyo akiwasili kijiweni. POLISI WAITWA
Baada ya kuona jamaa anaweza kuuawa, OFM waliita polisi wa pikipiki ambapo kwa mshangao, mmoja wa polisi hao alisema:
”Sisi tuna bifu na bodaboda baada ya mwenzetu kupigwa kule Mindu. Kama unaweza mpakie kwenye pikipiki yako mlete kituoni.”
Ilibidi OFM iite askari magereza ambao walimchukua bodaboda, denti na mzazi wake na kwenda ofisi zao zilipo jirani na shamba hilo.
Baadhi ya watu, hasa wanawake waliokuwepo eneo hilo walisikika wakisema huenda bodaboda huyo alikuwa na lengo la kishirikina.
”Hii siyo bure hiki kitoto kinajua nini katika mapenzi. Huyu huenda ametumwa na mganga wa kienyeji. Sisi wamama tuko hatuna waume ameshindwa nini kuja... kwetu?” alihoji mwanamke mmoja.
...Wakiondoka. MADAI YA KUJIUZA
Kwa mjini Morogoro, baadhi ya bodaboda wanadaiwa kutumia nafasi ya kuwa na chombo hicho cha usafiri kuwalaghai wanafunzi wa shule za msingi kwamba, wakilala nao watakuwa wanawapakiza kwenda shule na pia kutumia shiling elfu mbili kama chambo kikubwa.
“Kwa sasa mjini Morogoro madenti wa shule za msingi kujiuza ndiyo fasheni, wanarubuniwa na shiling elf

SHARE