Pages

Ads 468x60px

Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts

Sunday, June 11, 2017

USAJILI SIMBA 11 JUNE 2017, SIMBA KUNASA FUNDI HUYU

Image result for SIMBA SC


KIWANGO cha kiungo wa AFC Leopards, Allan Kateregga kwenye michuano ya Super Cup, kimewavuta Simba na sasa wanataka kunasa saini ya nyota huyo wa Kenya.

Kiungo huyo aliingia kipindi cha pili katika mchezo wao wa Super Cup dhidi ya Singida United na kutoa pasi ya bao kwa Vincent Oburu aliyeisawazishia timu yake na kutinga nusu fainali kwa mikwaju ya matuta 5-4, akiwamo kwenye orodha ya wapigaji.

TFF Wakanusha Kutowalipa Posho Serengeti Boys

Kufuatia taarifa zilizokuwa zikienea na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, zikidai kuwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limewatelekeza wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Tanzania ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 17(Serengeti Boys), TFF imejitokeza na kukanusha taarifa hizo.

Saturday, June 10, 2017

MATCH LIVE: TAZAMA TANZANIA VS LESOTHO 10 JUNE 2017

Tanzania, in the same group with Uganda and Cape Verde who face off in Praia on the same day says collecting maximum points will be crucial in their opening match.
“From the goalkeeper to forwards, we must focus on ensuring Lesotho is beaten,” the KRC Genk striker told a press briefing on Friday.

Wednesday, August 10, 2016

SHARE