Akaunti za mashahidi na uchanganuzi wa vipande vya video na silaha zinaonyesha kuwa kombora la Ukrain ambalo lilishindwa kulenga shabaha yake ndilo lililosababisha shambulio baya katika soko la Ukraine mnamo Septemba, gazeti la New York Times liliripoti Jumatatu.
Showing posts with label Kimataifa. Show all posts
Showing posts with label Kimataifa. Show all posts
Tuesday, September 19, 2023
Friday, June 9, 2017
Putin asema hakuna atakayenusurika vita ya Marekani na Urusi
Rais
wa Urusi, Vladimir Putin ametahadharisha kuwa hakuna atakasalia kama
itatokea vita kamili ya mgogoro wa kinyuklia kati ya nchi hiyo na
Marekani.
Putin
ameyasema hayo katika mahojiano na muongozaji wa filamu wa Marekani,
Oliver Stone alipotaka kupata mtazamo wake kuhusu mgogoro kati ya
mataifa hayo makubwa na yenye nguvu.
Wednesday, August 10, 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)